The Locator -- [(subject = "Swahili")]

1107 records matched your query       


Record 3 | Previous Record | MARC Display | Next Record | Search Results
Author:
Lubango, Lucas, author.
Title:
Bweni la Wasichana / Lucas Lubango.
Publisher:
Mkuki na Nyota Publishers,
Copyright Date:
2023
Description:
190 pages ; 20 cm.
Subject:
Swahili language materials.
Summary:
Usiku huo nilikuwa nasimamia maandalizi ya masomo ya usiku. Nikapigiwa simu na Rose, nikaipokea. Wakati naongea naye, nikawa natembea taratibu kama naelekea kwenye mabweni. Ghafla, nikaona taa za bweni wanalolala "Buibui" zinawaka na kuzima, nikajua ni hitilafu katika mfumo wa umeme. Nikataka kusogea ili nithibitishe kisha nitoe taarifa mapema kwa uongozi na matengenezo yafanyike. Nilisogea mpaka mlangoni, taa zikawaka moja kwa moja, na kwa kuwa kulikuwa na dalili za kuwemo mwanafunzi, nilitaka kujua kwanini hayupo darasani wakati wenzake wote walikuwa wana-jisomea. Nilingia nikakuta hali ya ukimya sana, nikatembea mpaka karibu na mwisho wa bweni, nilichokiona ni aibu kubwa! Huwezi amini, "Buibui" waliponiona wakadondosha khanga! Wakabaki kama walivyozaliwa..
ISBN:
9987753841
9789987753840
Locations:
TYPH572 -- Cedar Rapids Public Library (Cedar Rapids)

Initiate Another SILO Locator Search

This resource is supported by the Institute of Museum and Library Services under the provisions of the Library Services and Technology Act as administered by State Library of Iowa.