1107 records matched your query
01669aam a22002895i 4500 001 89823212BB4F11EE9799A7D243ECA4DB 003 SILO 005 20240125010040 008 230407 2023 xxx 1 eng 010 $a bc2048092357 020 $a 9987449867 : PAP 020 $a 9789987449866 : PAP 040 $a BTCAT $b eng $e rda $c BTCAT $d SILO 050 $a PS 082 $a 813 084 $a FIC000000 $2 bisacsh 100 1 $a Gurnah, Abdulrazak/ Hadjivayanis, Ida. 245 10 $a Peponi 264 1 $a [Place of publication not identified] $b African Books Collective $c 2023 300 $a 260 pages ; $c 20 cm. 520 $a Mzaliwa wa Afrika ya Mashariki, Yusuf anaondoka kwao kwa ghafla akiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Haimjii hata kwa sekunde moja, kwamba atakuwa mbali na wazazi wake kwa muda mrefu, na wala hafikirii kuuliza atarudi lini au kwa nini safari iliandaliwa kwa ghafla kiasi kile. Yusuf anaamini kuwa anamsindikiza Ami Aziz lakini ukweli ni kwamba 'ami' yake ni Mfanyabiashara, tena tajiri mkubwa, na Yusuf amewekwa rehani ili kulipia madeni ya baba yake. Yusuf anajikuta anasafiri katika miji na vitongoji vingi vingine ambako anakutana na watu wa kila namna. Anabalehe na kukua kwenye dunia inayobadilika kwa kasi kutokana na kuingia kwa ukoloni na udhalimu wake na jamii kuharibika kwa kuvurugwa kwa utamaduni wake. Hii ni tafsiri ya kwanza kwa riwaya za Abdulrazak Gurnah katika lugha ya Kiafrika. 546 $a In Swahili 650 0 $a Swahili fiction. 650 0 $a Swahili language $v Texts. 941 $a 1 952 $l TYPH572 $d 20240125011957.0 956 $a http://locator.silo.lib.ia.us/search.cgi?index_0=id&term_0=89823212BB4F11EE9799A7D243ECA4DBInitiate Another SILO Locator Search